Swali: Ni ipi hukumu ya kuitikia mwaliko wa chakula, kwa mfano wakati wa mwaliko wa chakula kwa ajili ya kufaulu mtihani au kuhitimu?
Jibu: Sio lazima kwenda katika mialiko hiyo. Kuitikia mwaliko wa chakula mbali na mwaliko kwa ajili ya harusi sio lazima.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
- Imechapishwa: 01/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)