Swali: Je, inafaa kufanya sherehe nyingi za karamu ya ndoa, kwa njia ya kwamba moja baada ya kukaa naye chemba na nyingine wakati wa kuhama naye katika nyumba moja?
Jibu: Hapana. Karamu ya ndoa inakuwa moja. Walima kwa mujibu wa Shari´ah ni moja. Zaidi ya hapo ni israfu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
- Imechapishwa: 01/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)