Swali: Je, inajuzu kwa mume kumlazimisha mke wake kuvaa Hijaab?
Jibu: Ndio:
الرِّجَالُ قَوَّامُونَ عَلَى النِّسَاءِ
“Wanaume ni wasimamizi juu ya wanawake.” (04:34)
Ni wajibu kwa mume kumlazimisha mke wake kuvaa Hijaab. Amlazimishe khaswa. Huku ni kuamrisha mema na kukataza maovu. Ni katika kumsimamia mwanamke. Hijaab ina sitara na usalama wa kutumbukia katika machafu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1430-7-20.mp3
- Imechapishwa: 19/04/2015
Swali: Je, inajuzu kwa mume kumlazimisha mke wake kuvaa Hijaab?
Jibu: Ndio:
الرِّجَالُ قَوَّامُونَ عَلَى النِّسَاءِ
“Wanaume ni wasimamizi juu ya wanawake.” (04:34)
Ni wajibu kwa mume kumlazimisha mke wake kuvaa Hijaab. Amlazimishe khaswa. Huku ni kuamrisha mema na kukataza maovu. Ni katika kumsimamia mwanamke. Hijaab ina sitara na usalama wa kutumbukia katika machafu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1430-7-20.mp3
Imechapishwa: 19/04/2015
https://firqatunnajia.com/mume-ana-haki-ya-kumlazimisha-mke-wake-hijaab/