Swali: Sauti haiko wazi na tumechoweza kusikia tu ni kama inajuzu kwa muislamu kuwaombea wazazi wake ambao ni makafiri…
Jibu: Haijuzu kwa muislamu kuwaombea du´aa wazazi wawili ambao ni makafiri wala kuwaombea msamaha. Allaah (Ta´ala) Amesema:
مَا كَانَ لِلنَّبِيِّ وَالَّذِينَ آمَنُوا أَن يَسْتَغْفِرُوا لِلْمُشْرِكِينَ وَلَوْ كَانُوا أُولِي قُرْبَىٰ مِن بَعْدِ مَا تَبَيَّنَ لَهُمْ أَنَّهُمْ أَصْحَابُ الْجَحِيمِ
“Haimpasii Nabii na wale walioamini kuwaombee msamaha washirikina, japokuwa ni jamaa zao wa karibu, baada ya kuwabainikia kwamba wao ni watu wa Motoni.” (09:113)
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimuomba idhini Mola Wake kutembelea kaburi la mama yake, Allaah Akampa idhini na akawa ameenda kumtembelea. Halafu baada ya hapo akamuomba idhini ya kumuombea msamaha, Allaah Akamkataza. Allaah Alimkataza kumuombea du´aa mama yake. Hii ni dalili inayoonesha kuwa muislamu hamuombei msamaha kafiri hata kama atakuwa ni baba yake au mama yake:
مَا كَانَ لِلنَّبِيِّ وَالَّذِينَ آمَنُوا أَن يَسْتَغْفِرُوا لِلْمُشْرِكِينَ وَلَوْ كَانُوا أُولِي قُرْبَىٰ مِن بَعْدِ مَا تَبَيَّنَ لَهُمْ أَنَّهُمْ أَصْحَابُ الْجَحِيمِ
“Haimpasii Nabii na wale walioamini kuwaombee msamaha washirikina, japokuwa ni jamaa zao wa karibu, baada ya kuwabainikia kwamba wao ni watu wa Motoni.”
Wakati Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipomwambia ami yake Abu Twaalib kuwa atamuombea msamaha midhali hajakatazwa, ndipo Allaah Akateremsha Aayah hii:
مَا كَانَ لِلنَّبِيِّ وَالَّذِينَ آمَنُوا أَن يَسْتَغْفِرُوا لِلْمُشْرِكِينَ وَلَوْ كَانُوا أُولِي قُرْبَىٰ مِن بَعْدِ مَا تَبَيَّنَ لَهُمْ أَنَّهُمْ أَصْحَابُ الْجَحِيمِ
“Haimpasii Nabii na wale walioamini kuwaombee msamaha washirikina, japokuwa ni jamaa zao wa karibu, baada ya kuwabainikia kwamba wao ni watu wa Motoni.”
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1430-7-20.mp3
- Imechapishwa: 19/04/2015
Swali: Sauti haiko wazi na tumechoweza kusikia tu ni kama inajuzu kwa muislamu kuwaombea wazazi wake ambao ni makafiri…
Jibu: Haijuzu kwa muislamu kuwaombea du´aa wazazi wawili ambao ni makafiri wala kuwaombea msamaha. Allaah (Ta´ala) Amesema:
مَا كَانَ لِلنَّبِيِّ وَالَّذِينَ آمَنُوا أَن يَسْتَغْفِرُوا لِلْمُشْرِكِينَ وَلَوْ كَانُوا أُولِي قُرْبَىٰ مِن بَعْدِ مَا تَبَيَّنَ لَهُمْ أَنَّهُمْ أَصْحَابُ الْجَحِيمِ
“Haimpasii Nabii na wale walioamini kuwaombee msamaha washirikina, japokuwa ni jamaa zao wa karibu, baada ya kuwabainikia kwamba wao ni watu wa Motoni.” (09:113)
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimuomba idhini Mola Wake kutembelea kaburi la mama yake, Allaah Akampa idhini na akawa ameenda kumtembelea. Halafu baada ya hapo akamuomba idhini ya kumuombea msamaha, Allaah Akamkataza. Allaah Alimkataza kumuombea du´aa mama yake. Hii ni dalili inayoonesha kuwa muislamu hamuombei msamaha kafiri hata kama atakuwa ni baba yake au mama yake:
مَا كَانَ لِلنَّبِيِّ وَالَّذِينَ آمَنُوا أَن يَسْتَغْفِرُوا لِلْمُشْرِكِينَ وَلَوْ كَانُوا أُولِي قُرْبَىٰ مِن بَعْدِ مَا تَبَيَّنَ لَهُمْ أَنَّهُمْ أَصْحَابُ الْجَحِيمِ
“Haimpasii Nabii na wale walioamini kuwaombee msamaha washirikina, japokuwa ni jamaa zao wa karibu, baada ya kuwabainikia kwamba wao ni watu wa Motoni.”
Wakati Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipomwambia ami yake Abu Twaalib kuwa atamuombea msamaha midhali hajakatazwa, ndipo Allaah Akateremsha Aayah hii:
مَا كَانَ لِلنَّبِيِّ وَالَّذِينَ آمَنُوا أَن يَسْتَغْفِرُوا لِلْمُشْرِكِينَ وَلَوْ كَانُوا أُولِي قُرْبَىٰ مِن بَعْدِ مَا تَبَيَّنَ لَهُمْ أَنَّهُمْ أَصْحَابُ الْجَحِيمِ
“Haimpasii Nabii na wale walioamini kuwaombee msamaha washirikina, japokuwa ni jamaa zao wa karibu, baada ya kuwabainikia kwamba wao ni watu wa Motoni.”
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1430-7-20.mp3
Imechapishwa: 19/04/2015
https://firqatunnajia.com/kuwaombea-msamaha-wazazi-walokuwa-makafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)