Swali: Nini anachosema Muhrim wakati anapopita jiwe jeusi?
Jibu: Aashirie kwa mkono wake na kusema:
الله أكبر
“Allaah ni mkubwa.”
Halafu aendelee Twawaaf yake. Hivyo anafanya pale ambapo hawezi kufika kwenye jiwe. Ama ikiwa anaweza kufika kwenye jiwe aliguse kwa mkono wake na alibusu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqu-%2020-08-1435.mp3
- Imechapishwa: 09/04/2015
Swali: Nini anachosema Muhrim wakati anapopita jiwe jeusi?
Jibu: Aashirie kwa mkono wake na kusema:
الله أكبر
“Allaah ni mkubwa.”
Halafu aendelee Twawaaf yake. Hivyo anafanya pale ambapo hawezi kufika kwenye jiwe. Ama ikiwa anaweza kufika kwenye jiwe aliguse kwa mkono wake na alibusu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqu-%2020-08-1435.mp3
Imechapishwa: 09/04/2015
https://firqatunnajia.com/muhrim-anasema-nini-wakati-anapopita-kwenye-jiwe-leusi/