Swali: Ni ipi hukumu ya kusema muheshimiwa (المكرم) fulani? Je, inazingatiwa ni kumtakasa?
Jibu: Hapana. Wewe humuheshimishi ndugu yako, wanachuoni na watawala? Watu wana heshima na nafasi zao. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema.
“Wateremsheni watu nafasi zao.”
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18257
- Imechapishwa: 19/07/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kusema muheshimiwa (المكرم) fulani? Je, inazingatiwa ni kumtakasa?
Jibu: Hapana. Wewe humuheshimishi ndugu yako, wanachuoni na watawala? Watu wana heshima na nafasi zao. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema.
“Wateremsheni watu nafasi zao.”
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18257
Imechapishwa: 19/07/2020
https://firqatunnajia.com/muheshimiwa-fulani/