Si lazima kumkumbusha mfungaji, kwa sababu hajafanya dhambi. Ni mwenye kupewa udhuru. Wanazuoni wametofautiana juu ya maoni mawili ambapo haya niliyosema ndio bora zaidi. Wale ambao wamesema kuwa ni wajibu kumkumbusha ni lazima kwao kuleta dalili.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahiym Aalush-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (04/193)
- Imechapishwa: 14/03/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)