Baadhi ya watu wanaona kuwa haijuzu kwa mwanamke kujipamba na dhahabu na wakaandika juu ya mada hiyo. Jambo hili linapingana na Hadiyth ambazo zimetaja waziwazi kufaa kwa jambo hilo. Ambaye ameandika juu ya hilo ni [Muhammad] Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy. Ni mtu ambaye anashikamana barabara na Sunnah, kuinusuru haki na kukabiliana na watu wa batili. Hata hivyo yuko na baadhi ya maoni dhaifu na hili ni moja wapo. Haonelei kufaa kutumia dhahabu na amejengea hoja na kukusanya mapokezi kadhaa, lakini hayawezi kuzipinga Hadiyth.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahiym Aalush-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (4/92)
- Imechapishwa: 23/03/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)