Katiba ya Saudi Arabia – na himdi zote njema anastahiki Allaah – ni Kitabu cha Allaah na Sunnah za Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kwa ajili hiyo kumefunguliwa mahakama ya Shari´ah kwa ajili kuhakikisha maneno Yake Allaah (Ta´ala):
فَإِن تَنَازَعْتُمْ فِي شَيْءٍ فَرُدُّوهُ إِلَى اللَّـهِ وَالرَّسُولِ
”Mkizozana juu ya jambo, basi lirudisheni kwa Allaah na Mtume.”[1]
Yasiyokuwa hayo ni katika hukumu za kipindi kabla ya kuja Uislamu. Amesema (Ta´ala):
أَفَحُكْمَ الْجَاهِلِيَّةِ يَبْغُونَ ۚ وَمَنْ أَحْسَنُ مِنَ اللَّـهِ حُكْمًا لِّقَوْمٍ يُوقِنُونَ
“Je, wanataka hukumu za kipindi cha kijahili? Na nani mbora zaidi kuliko Allaah katika kuhukumu kwa watu wenye yakini.”[2]
[1] 4:59
[2] 5:50
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahiym Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/288)
- Imechapishwa: 23/03/2024
Katiba ya Saudi Arabia – na himdi zote njema anastahiki Allaah – ni Kitabu cha Allaah na Sunnah za Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kwa ajili hiyo kumefunguliwa mahakama ya Shari´ah kwa ajili kuhakikisha maneno Yake Allaah (Ta´ala):
فَإِن تَنَازَعْتُمْ فِي شَيْءٍ فَرُدُّوهُ إِلَى اللَّـهِ وَالرَّسُولِ
”Mkizozana juu ya jambo, basi lirudisheni kwa Allaah na Mtume.”[1]
Yasiyokuwa hayo ni katika hukumu za kipindi kabla ya kuja Uislamu. Amesema (Ta´ala):
أَفَحُكْمَ الْجَاهِلِيَّةِ يَبْغُونَ ۚ وَمَنْ أَحْسَنُ مِنَ اللَّـهِ حُكْمًا لِّقَوْمٍ يُوقِنُونَ
“Je, wanataka hukumu za kipindi cha kijahili? Na nani mbora zaidi kuliko Allaah katika kuhukumu kwa watu wenye yakini.”[2]
[1] 4:59
[2] 5:50
Mhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahiym Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/288)
Imechapishwa: 23/03/2024
https://firqatunnajia.com/muhammad-bin-ibraahiym-aal-ash-shaykh-kuhusu-saudi-arabia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)