Swali: Je, muadhini acheleweshe adhaana wakati wa kuchelewesha Dhuhr?
Jibu: Hakuna kizuizi. Hata kama ataisogeza mbele adhaana asiharakishe kukimu. Hata hivyo itakuwa bora zaidi kuchelewesha adhaana, kama ambavyo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimwamrisha muadhini katika Hadiyth ya Abu Dharr. Kwa sababu watu wakisikia adhaana wanafika wanakuja. Si kila mmoja anajua kuwa imamu atachelewesha Dhuhr. Kwa hivyo akichelewesha adhaana inakuwa ni kuwafanyia upole watu.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23674/هل-يوخر-الاذان-في-حال-الابراد-بالظهر
- Imechapishwa: 27/03/2024
Swali: Je, muadhini acheleweshe adhaana wakati wa kuchelewesha Dhuhr?
Jibu: Hakuna kizuizi. Hata kama ataisogeza mbele adhaana asiharakishe kukimu. Hata hivyo itakuwa bora zaidi kuchelewesha adhaana, kama ambavyo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimwamrisha muadhini katika Hadiyth ya Abu Dharr. Kwa sababu watu wakisikia adhaana wanafika wanakuja. Si kila mmoja anajua kuwa imamu atachelewesha Dhuhr. Kwa hivyo akichelewesha adhaana inakuwa ni kuwafanyia upole watu.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23674/هل-يوخر-الاذان-في-حال-الابراد-بالظهر
Imechapishwa: 27/03/2024
https://firqatunnajia.com/muadhini-acheleweshe-adhaana-wakati-wa-kuchelewesha-dhuhr-kutokana-na-jua-kali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)