Miongoni mwa adabu za kisomo ni kumtakasia nia Allaah wakati wa kusoma. Kwa sababu usomaji wa Qur-aan ni katika ´ibaadah tukufu. Hayo tumetangulia kubainisha fadhilah zake. Allaah (Ta´ala) amesema:
فَادْعُوا اللَّـهَ مُخْلِصِينَ لَهُ الدِّينَ
“Basi mwombeni Allaah hali ya kumtakasia Yeye dini.”[1]
فَاعْبُدِ اللَّـهَ مُخْلِصًا لَّهُ الدِّينَ
“Mwabudu Allaah hali ya kumtakasia Yeye dini.”[2]
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Isomeni Qur-aan na tafuteni uso wa Allaah (´Azza wa Jall) kabla ya kuja watu wakaisoma kwa kuiponda; wanatafuta kwayo malipo ya dunia na hawaiharakishi.”
Amepokea Ahmad.
[1] 40:14
[2] 39:02
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 93
- Imechapishwa: 27/03/2024
Miongoni mwa adabu za kisomo ni kumtakasia nia Allaah wakati wa kusoma. Kwa sababu usomaji wa Qur-aan ni katika ´ibaadah tukufu. Hayo tumetangulia kubainisha fadhilah zake. Allaah (Ta´ala) amesema:
فَادْعُوا اللَّـهَ مُخْلِصِينَ لَهُ الدِّينَ
“Basi mwombeni Allaah hali ya kumtakasia Yeye dini.”[1]
فَاعْبُدِ اللَّـهَ مُخْلِصًا لَّهُ الدِّينَ
“Mwabudu Allaah hali ya kumtakasia Yeye dini.”[2]
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Isomeni Qur-aan na tafuteni uso wa Allaah (´Azza wa Jall) kabla ya kuja watu wakaisoma kwa kuiponda; wanatafuta kwayo malipo ya dunia na hawaiharakishi.”
Amepokea Ahmad.
[1] 40:14
[2] 39:02
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 93
Imechapishwa: 27/03/2024
https://firqatunnajia.com/kusoma-qur-aan-kwa-kumtakasia-nia-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)