Miongoni mwa adabu zake ni kuisoma kwa moyo uliyohudhuria kwa njia ya kwamba kuzingatia kile anachokisoma ambapo akafahamu maana yake, moyo wake ukapatwa na woga na akahudhurisha ndani ya moyo kwamba Allaah anazungumzisha yeye kupitia Qur-ana hii. Kwa sababu Qur-aan ni maneno ya Allaah (´Azza wa Jall).

  • Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 93
  • Imechapishwa: 27/03/2024