Miongoni mwa adabu zake ni kuisoma kwa moyo uliyohudhuria kwa njia ya kwamba kuzingatia kile anachokisoma ambapo akafahamu maana yake, moyo wake ukapatwa na woga na akahudhurisha ndani ya moyo kwamba Allaah anazungumzisha yeye kupitia Qur-ana hii. Kwa sababu Qur-aan ni maneno ya Allaah (´Azza wa Jall).
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 93
- Imechapishwa: 27/03/2024
Miongoni mwa adabu zake ni kuisoma kwa moyo uliyohudhuria kwa njia ya kwamba kuzingatia kile anachokisoma ambapo akafahamu maana yake, moyo wake ukapatwa na woga na akahudhurisha ndani ya moyo kwamba Allaah anazungumzisha yeye kupitia Qur-ana hii. Kwa sababu Qur-aan ni maneno ya Allaah (´Azza wa Jall).
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 93
Imechapishwa: 27/03/2024
https://firqatunnajia.com/hudhurisha-moyo-wakati-wa-kusoma-qur-aan/