Swali: Kusema:
صَدَقْتَ وَبَرِرْتَ
“Umesema kweli na kufanya wema.”
wakati muadhini anaposema kuwa swalah ni bora kuliko usingizi?
Jibu: Hapana. Sawa ni kusema kama anavosema:
الصلاة خير من النوم
“Swalah ni bora kuliko usingizi.”
Kusema hivo hakuna msingi na si sahihi. Aseme kama anavosema muadhini:
الصلاة خير من النوم
“Swalah ni bora kuliko usingizi.”
Wakati wa kukimu aseme kama muadhini:
قد قامت الصلاة
“Swalah imesimama.”
Hivi ndio sawa.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23673/حكم-قول-صدقت-وبررت-في-اجابة-الموذن
- Imechapishwa: 27/03/2024
Swali: Kusema:
صَدَقْتَ وَبَرِرْتَ
“Umesema kweli na kufanya wema.”
wakati muadhini anaposema kuwa swalah ni bora kuliko usingizi?
Jibu: Hapana. Sawa ni kusema kama anavosema:
الصلاة خير من النوم
“Swalah ni bora kuliko usingizi.”
Kusema hivo hakuna msingi na si sahihi. Aseme kama anavosema muadhini:
الصلاة خير من النوم
“Swalah ni bora kuliko usingizi.”
Wakati wa kukimu aseme kama muadhini:
قد قامت الصلاة
“Swalah imesimama.”
Hivi ndio sawa.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23673/حكم-قول-صدقت-وبررت-في-اجابة-الموذن
Imechapishwa: 27/03/2024
https://firqatunnajia.com/kumuitikia-muadhini-namna-hii-hakukusihi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)