Swali: Ni ipi tafsiri ya maneno ya Allaah (Ta´ala):
وَاصْبِرْ لِحُكْمِ رَبِّكَ فَإِنَّكَ بِأَعْيُنِنَا
“Na subiri kwa hukumu ya Mola wako, kwani hakika wewe uko kwenye macho Yetu.” (52:48)
Jibu: Ulinzi wa Allaah. Allaah anaona na macho Yake. Allaah anamuona na anamhifadhi. Allaah anamhifadhi, anamnusuru, anamsaidia.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (24) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir-ayat-qrran-19-07-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 20/06/2020
Swali: Ni ipi tafsiri ya maneno ya Allaah (Ta´ala):
وَاصْبِرْ لِحُكْمِ رَبِّكَ فَإِنَّكَ بِأَعْيُنِنَا
“Na subiri kwa hukumu ya Mola wako, kwani hakika wewe uko kwenye macho Yetu.” (52:48)
Jibu: Ulinzi wa Allaah. Allaah anaona na macho Yake. Allaah anamuona na anamhifadhi. Allaah anamhifadhi, anamnusuru, anamsaidia.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (24) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir-ayat-qrran-19-07-1435-01.mp3
Imechapishwa: 20/06/2020
https://firqatunnajia.com/mtume-chini-ya-macho-ya-allaah/