Swali: Nilichelewesha Maghrib na ´Ishaa kwa sababu nilikuwa msafiri. Nikaswali ´Ishaa na mkusanyiko wa msikitini na nikasahau kuswali Maghrib, na nikakumbuka hilo katika Tashahhud ya mwisho katika swalah ya ´Ishaa. Je, nifanye ´Ishaa kisha Maghrib pamoja na kujua kuwa Rakaa´ moja ilinipita au niswali Maghrib halafu ndio niswali ´Ishaa?
Jibu: Hapana, usiswali ´Ishaa kabla ya Maghrib. Hata hivyo ni sawa endapo utasahau kuswali Maghrib na ukakumbuka hilo baada ya kuwa umeshaswali ´Ishaa. Katika hali hii utaswali Maghrib baada ya ´Ishaa.
Ama ukikumbuka wakati uko unaswali ´Ishaa basi unachotakiwa ni wewe kuifanya kuwa swalah ya Sunnah kisha baada ya hapo uswali Maghrib halafu ´Ishaa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (24) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir-ayat-qrran-19-07-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 20/06/2020
Swali: Nilichelewesha Maghrib na ´Ishaa kwa sababu nilikuwa msafiri. Nikaswali ´Ishaa na mkusanyiko wa msikitini na nikasahau kuswali Maghrib, na nikakumbuka hilo katika Tashahhud ya mwisho katika swalah ya ´Ishaa. Je, nifanye ´Ishaa kisha Maghrib pamoja na kujua kuwa Rakaa´ moja ilinipita au niswali Maghrib halafu ndio niswali ´Ishaa?
Jibu: Hapana, usiswali ´Ishaa kabla ya Maghrib. Hata hivyo ni sawa endapo utasahau kuswali Maghrib na ukakumbuka hilo baada ya kuwa umeshaswali ´Ishaa. Katika hali hii utaswali Maghrib baada ya ´Ishaa.
Ama ukikumbuka wakati uko unaswali ´Ishaa basi unachotakiwa ni wewe kuifanya kuwa swalah ya Sunnah kisha baada ya hapo uswali Maghrib halafu ´Ishaa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (24) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir-ayat-qrran-19-07-1435-01.mp3
Imechapishwa: 20/06/2020
https://firqatunnajia.com/amekumbuka-kuwa-hakuswali-maghrib-pindi-yuko-anaswali-ishaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)