Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ametueleza mambo haya yote. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) mpole na wakati huo huo ni mpambanaji ambaye hakubaliani na upotevu kamwe, lakini hivyo anatazama manufaa na madhara kwa Waislamu na analinganisha kati ya hayo mawili. Ukandamizaji wa watawala na kupinda kwao ni madhara tena makubwa, lakini pamoja na hivyo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameamrisha kuwa na subira juu yao bila ya kujali ni kiasi gani ufisadi wao utafikia, mpaka pale watapotoka katika Uislamu utokaji wa wazi usokuwa na mashaka na wasiwasi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndio mtu mwenye ghera zaidi juu ya Dini baada ya Allaah. Lakini pamoja na yote haya Ameamrisha kuwa na subira (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah, tangu wakati wa Maswahabah mpaka hivi leo msimamo wao hautofautiani na hautoki katika maelekezo ya Mtume mtukufu (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=26874
- Imechapishwa: 07/05/2015
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ametueleza mambo haya yote. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) mpole na wakati huo huo ni mpambanaji ambaye hakubaliani na upotevu kamwe, lakini hivyo anatazama manufaa na madhara kwa Waislamu na analinganisha kati ya hayo mawili. Ukandamizaji wa watawala na kupinda kwao ni madhara tena makubwa, lakini pamoja na hivyo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameamrisha kuwa na subira juu yao bila ya kujali ni kiasi gani ufisadi wao utafikia, mpaka pale watapotoka katika Uislamu utokaji wa wazi usokuwa na mashaka na wasiwasi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndio mtu mwenye ghera zaidi juu ya Dini baada ya Allaah. Lakini pamoja na yote haya Ameamrisha kuwa na subira (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah, tangu wakati wa Maswahabah mpaka hivi leo msimamo wao hautofautiani na hautoki katika maelekezo ya Mtume mtukufu (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=26874
Imechapishwa: 07/05/2015
https://firqatunnajia.com/mtume-alayhis-salaam-juu-ya-viongozi-madhalimu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)