Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah) amesema::
“Imepokelewa ya kwamba baadhi ya Maswahabah walimuuliza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Ee Mtume wa Allaah! Je, Mola Wetu yuko karibu tumnong´oneze au yuko mbali tunyanyua sauti zetu?” Ndipo Allaah akawa ameteremsha Aayah hii.”[1]
Allaah (Jalla wa ´Alaa) yuko karibu kwa waja Wake na wakati huo huo yuko juu ya viumbe Wake. Yuko karibu kwa kusikia du´aa za waja Wake, bali anasikia siri zao na yale wanayonong´onezana, anajua mpaka yale yaliyomo ndani ya nafsi zao hata kama hawakuyatamka. Yuko karibu nao (Subhaanahu wa Ta´ala). Kwa ajili hii Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
وَقَالَ رَبُّكُمُ ادْعُونِي أَسْتَجِبْ لَكُمْ ۚ إِنَّ الَّذِينَ يَسْتَكْبِرُونَ عَنْ عِبَادَتِي سَيَدْخُلُونَ جَهَنَّمَ دَاخِرِينَ
“Mola wenu amesema: “Niombeni Nitakuitikieni. Hakika wale wanaotakabari na ‘ibaadah Yangu, basi watauingika [Moto wa] Jahanam hali ya kuwa ni wadhalilifu.” (40:60)
[1] 02:186
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ektda–1430-2-19.mp3
- Imechapishwa: 05/05/2015
Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah) amesema::
“Imepokelewa ya kwamba baadhi ya Maswahabah walimuuliza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Ee Mtume wa Allaah! Je, Mola Wetu yuko karibu tumnong´oneze au yuko mbali tunyanyua sauti zetu?” Ndipo Allaah akawa ameteremsha Aayah hii.”[1]
Allaah (Jalla wa ´Alaa) yuko karibu kwa waja Wake na wakati huo huo yuko juu ya viumbe Wake. Yuko karibu kwa kusikia du´aa za waja Wake, bali anasikia siri zao na yale wanayonong´onezana, anajua mpaka yale yaliyomo ndani ya nafsi zao hata kama hawakuyatamka. Yuko karibu nao (Subhaanahu wa Ta´ala). Kwa ajili hii Allaah (Jalla wa ´Alaa) amesema:
وَقَالَ رَبُّكُمُ ادْعُونِي أَسْتَجِبْ لَكُمْ ۚ إِنَّ الَّذِينَ يَسْتَكْبِرُونَ عَنْ عِبَادَتِي سَيَدْخُلُونَ جَهَنَّمَ دَاخِرِينَ
“Mola wenu amesema: “Niombeni Nitakuitikieni. Hakika wale wanaotakabari na ‘ibaadah Yangu, basi watauingika [Moto wa] Jahanam hali ya kuwa ni wadhalilifu.” (40:60)
[1] 02:186
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ektda–1430-2-19.mp3
Imechapishwa: 05/05/2015
https://firqatunnajia.com/allaah-yuko-karibu-na-waja-wake-na-wakati-huohuo-yuko-juu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)