Swali: Je, ni kweli kwamba mtu atafanyiwa hesabu siku ya Qiyaamah juu ya nguo yake anayoivaa?
Jibu: Ndio, ataulizwa juu ya mali yake ni wapi aliichuma na ni wapi aliitumia, kama ilivyopokelewa katika Hadiyth tukufu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (05/393)
- Imechapishwa: 10/10/2020
Swali: Je, ni kweli kwamba mtu atafanyiwa hesabu siku ya Qiyaamah juu ya nguo yake anayoivaa?
Jibu: Ndio, ataulizwa juu ya mali yake ni wapi aliichuma na ni wapi aliitumia, kama ilivyopokelewa katika Hadiyth tukufu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (05/393)
Imechapishwa: 10/10/2020
https://firqatunnajia.com/mtu-ataulizwa-juu-ya-nguo-yake-anayoivaa/