Swali: Hadiyth ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Malaika hawasuhubiani na mtu ambaye anayo mbwa au kengele.”
Je, anaingia hivi sasa ambaye anabeba simu na akaweka sauti zilizo na muziki na nyimbo?
Jibu: Kunachelewa juu yake jambo hili. Ujumla wa muziki umekatazwa kwa njia ya utumbwizo uliyomo ndani yake. Haitakikani kwa muislamu akachagua sauti hizi na khaswa msikitini. Mtu anatakiwa kuzima simu ili asiwashughulishe watu. Hapa ni pale ambapo sauti yake inakuwa yenye kuruhusiwa. Tusemeje ikiwa sauti yenyewe imekatazwa?
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (21)
- Imechapishwa: 29/08/2021
Swali: Hadiyth ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Malaika hawasuhubiani na mtu ambaye anayo mbwa au kengele.”
Je, anaingia hivi sasa ambaye anabeba simu na akaweka sauti zilizo na muziki na nyimbo?
Jibu: Kunachelewa juu yake jambo hili. Ujumla wa muziki umekatazwa kwa njia ya utumbwizo uliyomo ndani yake. Haitakikani kwa muislamu akachagua sauti hizi na khaswa msikitini. Mtu anatakiwa kuzima simu ili asiwashughulishe watu. Hapa ni pale ambapo sauti yake inakuwa yenye kuruhusiwa. Tusemeje ikiwa sauti yenyewe imekatazwa?
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (21)
Imechapishwa: 29/08/2021
https://firqatunnajia.com/mtu-ambaye-malaika-hawasuhubiani-naye/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)