Swali: Ni ipi hukumu ya mtu aliyezini katika mji wa magharibi. Baadaye mtoto wake akawa mkubwa. Mtoto huyu anataka kuwa na mawasiliano na baba yake. Mtu huyu ataamili vipi?
Jibu: Huyu sio mtoto wake. Hili halijuzu. Sio mtoto wake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mtoto ni yule wa kitandani.”
Mtoto ni lazima awe wa ndani ya ndoa. Ama mtoto wa nje ya ndoa, baba yake anatakiwa kupigwa mawe. Mtoto wa uzinzi hanasibishwi kwa yeyote zaidi ya mama yake. Mtoto wa uzinzi ananasibishwa kwa mama yake tu na wala hanasibishwi kwa baba.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah (2) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ftn–1432-08-16.mp3
- Imechapishwa: 21/04/2015
Swali: Ni ipi hukumu ya mtu aliyezini katika mji wa magharibi. Baadaye mtoto wake akawa mkubwa. Mtoto huyu anataka kuwa na mawasiliano na baba yake. Mtu huyu ataamili vipi?
Jibu: Huyu sio mtoto wake. Hili halijuzu. Sio mtoto wake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mtoto ni yule wa kitandani.”
Mtoto ni lazima awe wa ndani ya ndoa. Ama mtoto wa nje ya ndoa, baba yake anatakiwa kupigwa mawe. Mtoto wa uzinzi hanasibishwi kwa yeyote zaidi ya mama yake. Mtoto wa uzinzi ananasibishwa kwa mama yake tu na wala hanasibishwi kwa baba.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kitaab Ahaadiyth-il-Fitnah (2) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ftn–1432-08-16.mp3
Imechapishwa: 21/04/2015
https://firqatunnajia.com/mtoto-wa-nje-ya-ndoa-anataka-mawasiliano-na-baba-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)