Swali: Ikiwa imamu alimchagua mbadala baada ya kuswali Rak´ah mbili, lakini mbadala huyo hakujua hukumu na akaanza upya?
Jibu: Haidhuru, swalah yake ni sahihi hata kama alianza upya. Hata hivyo Sunna ni kwamba mbadala aendelee kutoka pale alipofikia imamu wa awali, kama ilivyofanya ´Abdur-Rahmaan bin ´Awf.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24910/ما-الحكم-لو-اعاد-المستخلف-الصلاة-من-اولها
- Imechapishwa: 03/01/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)