Swali: Msafiri akiswali nyuma ya mwenyeji?
Jibu: Msafiri anatakiwa kuswali Rak´ah nne kamili anaposwali nyuma ya mwenyeji kama maamuma. Hii ndio Sunnah, kama ilivyosimuliwa katika Hadiyth iliyopokelewa na Muslim kutoka kwa Ibn ´Abbaas:
“Sunnah ni kwamba msafiri akiswali nyuma ya mwenyeji, aswali nne.”
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24908/هل-يتم-المسافر-الصلاة-اذا-اىتم-بالمقيم
- Imechapishwa: 03/01/2025
Swali: Msafiri akiswali nyuma ya mwenyeji?
Jibu: Msafiri anatakiwa kuswali Rak´ah nne kamili anaposwali nyuma ya mwenyeji kama maamuma. Hii ndio Sunnah, kama ilivyosimuliwa katika Hadiyth iliyopokelewa na Muslim kutoka kwa Ibn ´Abbaas:
“Sunnah ni kwamba msafiri akiswali nyuma ya mwenyeji, aswali nne.”
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24908/هل-يتم-المسافر-الصلاة-اذا-اىتم-بالمقيم
Imechapishwa: 03/01/2025
https://firqatunnajia.com/katika-hali-hii-msafiri-anapaswa-kukamilisha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)