Swali: Katika baadhi ya mizunguko ya kuhifadhi Qur-aan tumeamua kuwa wanafunzi wahifadhi pia vitabu katika ´Aqiydah na Sunnah. Wakaja baada ya watu na kukukataza hilo na kusema tusiwashughulishe na vitabu hivi kwa Qur-aan…
Jibu: Hawa ni miongoni mwa walinganizi wa njama. Washughulisheni na Qur-aa na vitabu; vyote viwili. Wafunzeni Qur-aan, Sunnah na Fiqh. Hata hivyo iwe kwa njia ya mukhtasari. Waacheni wahifadhi misingi sahihi na kuwafafanulia kwa njia rahisi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/muq–14331116.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)