Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Watu saba watafunikwa na kivuli siku ambayo hakutokuwa na kivuli isipokuwa kivuli Chake; kiongozi mwadilifu, kijana aliyekulia katika kumuabudu Allaah…”
Ni vipi kijana wa leo atakulia katika kumuabudu Allaah?
Jibu: Atakulia kwa hilo akilelewa juu yake na akawa anaishi kwenye nyumba ya ´ibaadah. Hivyo ndivyo mtoto atavyokuwa:
Mtoto wetu amekulia kwa kile ambacho baba yake amemzoweza
Ni jambo lisilokuwa na shaka ya kwamba mtoto hukulia kwa kile ambacho amezowezwa nyumbani. Kheri au shari.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/muq–14331116.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Watu saba watafunikwa na kivuli siku ambayo hakutokuwa na kivuli isipokuwa kivuli Chake; kiongozi mwadilifu, kijana aliyekulia katika kumuabudu Allaah…”
Ni vipi kijana wa leo atakulia katika kumuabudu Allaah?
Jibu: Atakulia kwa hilo akilelewa juu yake na akawa anaishi kwenye nyumba ya ´ibaadah. Hivyo ndivyo mtoto atavyokuwa:
Mtoto wetu amekulia kwa kile ambacho baba yake amemzoweza
Ni jambo lisilokuwa na shaka ya kwamba mtoto hukulia kwa kile ambacho amezowezwa nyumbani. Kheri au shari.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/muq–14331116.mp3
Imechapishwa: 17/06/2015
https://firqatunnajia.com/alivyo-mzazi-ndivyo-anavyokuwa-mtoto/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)