Swali: Kuna uchawi wa kiini macho peke yake au kuna na wa kikweli?
Jibu: Kuna aina mbili za uchawi; wa kikweli na wa kiini macho. Kuhusu Mu´tazilah na wanafalsafa wao wanapinga na kusema hakuna uchawi wa kweli, kuna uchawi wa kiini macho peke yake. Hili ni kosa. Uchawi aina zote mbili upo; wa kiini macho na wa kikweli.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (30) http://alfawzan.af.org.sa/node/2142
- Imechapishwa: 12/07/2020
Swali: Kuna uchawi wa kiini macho peke yake au kuna na wa kikweli?
Jibu: Kuna aina mbili za uchawi; wa kikweli na wa kiini macho. Kuhusu Mu´tazilah na wanafalsafa wao wanapinga na kusema hakuna uchawi wa kweli, kuna uchawi wa kiini macho peke yake. Hili ni kosa. Uchawi aina zote mbili upo; wa kiini macho na wa kikweli.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (30) http://alfawzan.af.org.sa/node/2142
Imechapishwa: 12/07/2020
https://firqatunnajia.com/msimamo-wa-mutazilah-na-wanafalsafa-juu-ya-uchawi/