Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kusema:
“Ee Allaah! Ninakuomba kwa haki ya majina Yako Kwako?”
Jibu: Hili halina msingi. Je, majina ya Allaah yana haki mbele ya Allaah? Nani amesema hivi? Badala yake sema:
“Ee Allaah! Ninakuomba kwa majina Yako.”
pasi na kusema:
“… kwa haki ya majina Yako.”
Sema:
“Ee Allaah Ninakuomba kwa majina na sifa Zako.”
Hili ndio limethibiti. Amesema (Ta´ala):
وَلِلَّـهِ الْأَسْمَاءُ الْحُسْنَىٰ فَادْعُوهُ بِهَا
“Allaah ana majina mazuri kabisa, basi muombeni kwayo.” (07:180)
Hakusema:
“Ombeni kwa haki zake [majina hayo].”
Tusizushe kitu kutoka kwetu wenyewe.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (31) http://alfawzan.af.org.sa/node/2143
- Imechapishwa: 12/07/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kusema:
“Ee Allaah! Ninakuomba kwa haki ya majina Yako Kwako?”
Jibu: Hili halina msingi. Je, majina ya Allaah yana haki mbele ya Allaah? Nani amesema hivi? Badala yake sema:
“Ee Allaah! Ninakuomba kwa majina Yako.”
pasi na kusema:
“… kwa haki ya majina Yako.”
Sema:
“Ee Allaah Ninakuomba kwa majina na sifa Zako.”
Hili ndio limethibiti. Amesema (Ta´ala):
وَلِلَّـهِ الْأَسْمَاءُ الْحُسْنَىٰ فَادْعُوهُ بِهَا
“Allaah ana majina mazuri kabisa, basi muombeni kwayo.” (07:180)
Hakusema:
“Ombeni kwa haki zake [majina hayo].”
Tusizushe kitu kutoka kwetu wenyewe.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (31) http://alfawzan.af.org.sa/node/2143
Imechapishwa: 12/07/2020
https://firqatunnajia.com/kuomba-mwa-haki-ya-majina-na-sifa-za-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)