Swali: Vipi mtu atatangamana na mtu wa Bid´ah ambaye Bid´ah zake ni kufuri? Je, inajuzu kumsusa?
Jibu: Bila ya shaka. Ikiwa hatoacha Bid´ah zake ni wajibu kumsusa na kujiepusha naye.
Lakini ni nani atayehakikisha hili? Baadhi ya ndugu wanaonelea kila kitu ambacho ni wajinga kwacho kuwa ni Bid´ah. Ni lazima kuhakikishwe kuwa kweli ni Bid´ah na kuwepo dalili. Baadhi ya ndugu wanafanyiana Tabdiy´ wao kwa wao pasi na dalili. Wanafanya hivo kwa sababu hawaonelei sawa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (30) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majd%20-%2019%20-%2010-%20-1436.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)