Swali: Katika nchi yetu pahali pa makaburi hapako kwa mujibu wa Shari´ah. Je, inajuzu kuwazikaeko maiti?
Jibu: Vipi hayako kwa mujibu wa Shari´ah? Sio makaburi ya waislamu? Muislamu anatakiwa kuzikwa kwenye makaburi ya waislamu pasi na kujali mahala; katika nchi za makafiri na nchi za waislamu. Ikiwa waislamu wana pahala pa kuzikia azikwe huko. Na ikiwa hawana pahala pa kuzikia basi asizikwe katika makaburi ya makafiri. Katika hali hiyo asafirishwe.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (30) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majd%20-%2019%20-%2010-%20-1436.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Katika nchi yetu pahali pa makaburi hapako kwa mujibu wa Shari´ah. Je, inajuzu kuwazikaeko maiti?
Jibu: Vipi hayako kwa mujibu wa Shari´ah? Sio makaburi ya waislamu? Muislamu anatakiwa kuzikwa kwenye makaburi ya waislamu pasi na kujali mahala; katika nchi za makafiri na nchi za waislamu. Ikiwa waislamu wana pahala pa kuzikia azikwe huko. Na ikiwa hawana pahala pa kuzikia basi asizikwe katika makaburi ya makafiri. Katika hali hiyo asafirishwe.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (30) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majd%20-%2019%20-%2010-%20-1436.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/ikiwa-hakuna-makaburi-ya-waislamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket