Swali: Katika athari za ukoloni katika nchi yetu ni pamoja na kuwa kulijengwa makaburi na yakapambwa kwa mauwa na miti. Kufanywe nini juu ya hilo?
Jibu: Kitendo hichi ni maovu. Ni wajibu kukiondosha. Yule awezae kukiondosha ni wajibu afanye hivo. Hata hivyo ni lazima mamlaka ndio yafanye hivo kazi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (30) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majd%20-%2019%20-%2010-%20-1436.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Katika athari za ukoloni katika nchi yetu ni pamoja na kuwa kulijengwa makaburi na yakapambwa kwa mauwa na miti. Kufanywe nini juu ya hilo?
Jibu: Kitendo hichi ni maovu. Ni wajibu kukiondosha. Yule awezae kukiondosha ni wajibu afanye hivo. Hata hivyo ni lazima mamlaka ndio yafanye hivo kazi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (30) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majd%20-%2019%20-%2010-%20-1436.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/ni-mamlaka-ndio-yenye-kuondosha-dhambi-kwenye-makaburi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)