Swali: Katika mji wetu kumejengwa misikiti kwenye makaburi ya watu wema. Watu wanayatembelea, wanafanya Tabarruk kwayo na wanayaomba. Je, ni juu yetu kuyavunja?

Jibu: Ni mamlaka tu ndio yanayoweza kuyaondosha. Wajibu wenu ni kubainisha. Kunahitajika mamlaka ili kuvunja makaburi.

  • Mhusika: Swali: Katika mji wetu kumejengwa misikiti kwenye makaburi ya watu wema. Watu wanayatembelea, wanafanya Tabarruk kwayo na wanayaomba. Je, ni juu yetu kuyavunja? Jibu: Ni mamlaka tu ndio yanayoweza kuyaondosha. Wajibu wenu ni kubainisha. Kunahitajika mamlaka ili kuvunja makaburi.
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (30) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majd%20-%2019%20-%2010-%20-1436.mp3
  • Imechapishwa: 12/02/2017