Swali: Mwanafunzi na mlinganizi wafanye nini wanapokuwa katika jamii ilio na fikira na madhehebu yenye kwenda kinyume na ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah?
Jibu: Ni wajibu kwake kujua ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Ajifunze nayo na aijue kwanza. Ashikamane nayo popote pale. Ashikamane nayo hata kama watu wa mji wake wanaenda kinyume naye. Awapuuze na ashikamane nayo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir%20ayat-03-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 21/06/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)