Swali: Ni Sunnah wanaume kufuga nywele?
Jibu: Ni jambo zuri kufuga nywele sawa na urefu wa nywele alizokuwa nazo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ikiwa malengo ni kumuiga. Hata hivyo itakuwa haijuzu kufuga nywele kwa ajili ya kuwaiga wamagharibi, vijana wapotevu na wengineo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir%20ayat-03-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 21/06/2020
Swali: Ni Sunnah wanaume kufuga nywele?
Jibu: Ni jambo zuri kufuga nywele sawa na urefu wa nywele alizokuwa nazo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ikiwa malengo ni kumuiga. Hata hivyo itakuwa haijuzu kufuga nywele kwa ajili ya kuwaiga wamagharibi, vijana wapotevu na wengineo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir%20ayat-03-08-1435-01.mp3
Imechapishwa: 21/06/2020
https://firqatunnajia.com/sharti-ya-mwanaume-kufuga-nywele/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)