Swali: Kuna mtu amemfungia mwanawe chooni. Aswali huko? Je, baba anapata dhambi kwa kitendo chake?
Jibu: Asiswali isipokuwa pale atapochelea wakati wa swalah kutoka. Akichelea wakati wa swalah kutoka ndipo aswali katika hali yake hata kama itakuwa chooni. Haijuzu kwa baba kumfanyia mwanawe wala mtu mwingine namna hii. Muumini ana heshima yake. Asifungiwe chooni.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir%20ayat-03-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 21/06/2020
Swali: Kuna mtu amemfungia mwanawe chooni. Aswali huko? Je, baba anapata dhambi kwa kitendo chake?
Jibu: Asiswali isipokuwa pale atapochelea wakati wa swalah kutoka. Akichelea wakati wa swalah kutoka ndipo aswali katika hali yake hata kama itakuwa chooni. Haijuzu kwa baba kumfanyia mwanawe wala mtu mwingine namna hii. Muumini ana heshima yake. Asifungiwe chooni.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir%20ayat-03-08-1435-01.mp3
Imechapishwa: 21/06/2020
https://firqatunnajia.com/kufungiwa-chooni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)