Swali: Ni vipi unatakiwa kuwa msimamo wetu juu ya Tawraat na Injiyl walivyo navyo mayahudi na manaswara pamoja na upotoshaji unaopatikana ndani yake?
Jibu: Msivikadhibishe na wala msivisadikishe. Kwa sababu kuna uwezekano ndani yake kukawa kuna haki na kukawa pia batili. Sisi Allaah ametutosheleza navyo. Lakini tunasema kuwa vimefutwa na wakati wake umeisha.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (05) http://alfawzan.af.org.sa/node/2048
- Imechapishwa: 19/11/2016
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket