Swali: Ni vipi unatakiwa kuwa msimamo wetu juu ya Tawraat na Injiyl walivyo navyo mayahudi na manaswara pamoja na upotoshaji unaopatikana ndani yake?
Jibu: Msivikadhibishe na wala msivisadikishe. Kwa sababu kuna uwezekano ndani yake kukawa kuna haki na kukawa pia batili. Sisi Allaah ametutosheleza navyo. Lakini tunasema kuwa vimefutwa na wakati wake umeisha.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (05) http://alfawzan.af.org.sa/node/2048
- Imechapishwa: 19/11/2016
Swali: Ni vipi unatakiwa kuwa msimamo wetu juu ya Tawraat na Injiyl walivyo navyo mayahudi na manaswara pamoja na upotoshaji unaopatikana ndani yake?
Jibu: Msivikadhibishe na wala msivisadikishe. Kwa sababu kuna uwezekano ndani yake kukawa kuna haki na kukawa pia batili. Sisi Allaah ametutosheleza navyo. Lakini tunasema kuwa vimefutwa na wakati wake umeisha.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (05) http://alfawzan.af.org.sa/node/2048
Imechapishwa: 19/11/2016
https://firqatunnajia.com/msimamo-juu-ya-biblia-na-tawraat/