Swali: Mawalii wa Allaah wanakuwa na karama baada ya kufa kwao?
Jibu: Baada ya kufa kwao zinaisha. Karama tena zitatoka wapi? Kutoka kwa maiti? Zinaisha. Matendo yake yamekatika na ametoka katika dunia hii na amebaki hana kitu isipokuwa matendo yake aliyotenda kabla ya kufa au zile du´aa au msamaha anaoombewa na nduguze waislamu au swadaqah. Haya ndio yaliyobaki na ndio yatayomwandama.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (05) http://alfawzan.af.org.sa/node/2048
- Imechapishwa: 19/11/2016
Swali: Mawalii wa Allaah wanakuwa na karama baada ya kufa kwao?
Jibu: Baada ya kufa kwao zinaisha. Karama tena zitatoka wapi? Kutoka kwa maiti? Zinaisha. Matendo yake yamekatika na ametoka katika dunia hii na amebaki hana kitu isipokuwa matendo yake aliyotenda kabla ya kufa au zile du´aa au msamaha anaoombewa na nduguze waislamu au swadaqah. Haya ndio yaliyobaki na ndio yatayomwandama.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (05) http://alfawzan.af.org.sa/node/2048
Imechapishwa: 19/11/2016
https://firqatunnajia.com/karama-za-mawalii-zinaendelea-baada-ya-kufa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)