Swali: Ni ipi hukumu ya kupuliza kuondosha udongo uliyobaki kwenye vitanga vya mikono baada ya kupiga kwenye udongo na kabla ya kupangusa uso?
Jibu: Imepokelewa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipuliza kwenye vitanga vyake vya mikono baada ya kuipiga kwenye ardhi kisha akapangusa. Mtu akifanya hivo haina neno.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
- Imechapishwa: 19/11/2016
Swali: Ni ipi hukumu ya kupuliza kuondosha udongo uliyobaki kwenye vitanga vya mikono baada ya kupiga kwenye udongo na kabla ya kupangusa uso?
Jibu: Imepokelewa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipuliza kwenye vitanga vyake vya mikono baada ya kuipiga kwenye ardhi kisha akapangusa. Mtu akifanya hivo haina neno.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
Imechapishwa: 19/11/2016
https://firqatunnajia.com/kupuliza-katika-tayammum/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)