Swali: Dada huyu anauliza kama inajuzu kuuza kitu katika dhahabu anazomiliki bila ya wazazi wake kujua hilo kwa sababu nina haja kubwa na ninaona hayaa kuwaomba wao?
Jibu: Hii ni milki yako wewe. Inajuzu kutumia vitu vyako vile unavotaka pasina yeyote kukuingilia kati.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/al_makruf-14-08-1433.mp3
- Imechapishwa: 15/06/2015
Swali: Dada huyu anauliza kama inajuzu kuuza kitu katika dhahabu anazomiliki bila ya wazazi wake kujua hilo kwa sababu nina haja kubwa na ninaona hayaa kuwaomba wao?
Jibu: Hii ni milki yako wewe. Inajuzu kutumia vitu vyako vile unavotaka pasina yeyote kukuingilia kati.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/al_makruf-14-08-1433.mp3
Imechapishwa: 15/06/2015
https://firqatunnajia.com/msichana-kuuza-vitu-vyake-pasina-wazazi-wake-kujua/