Swali: Je, inafaa kuuza baadhi ya vitu ninavyomiliki katika dhahabu pasi na wazazi wangu kujua kwa sababu ninahitaji sana na ninastahi kuwaomba.
Jibu: Hivyo ni milki yako. Vito ni milki yako. Inafaa kwake kuvitumia vile unavotaka. Asikuingilie yeyote katika jambo hilo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (05)
- Imechapishwa: 17/02/2024
Swali: Je, inafaa kuuza baadhi ya vitu ninavyomiliki katika dhahabu pasi na wazazi wangu kujua kwa sababu ninahitaji sana na ninastahi kuwaomba.
Jibu: Hivyo ni milki yako. Vito ni milki yako. Inafaa kwake kuvitumia vile unavotaka. Asikuingilie yeyote katika jambo hilo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (05)
Imechapishwa: 17/02/2024
https://firqatunnajia.com/msichana-kutumia-vito-vyake-bila-idhini-ya-wazazi/