Swali: Kusema kusema “Ramadhaan Kariym”, Ramadhaan yenye kutoa, je mtoaji si ni Allaah?
Jibu: Hili halina msingi. Kusema “Ramadhaan Kariym”, Ramadhaan yenye kutoa, hili halina msingi. Ama kusema Ramadhaan tukufu (شريف), iliyobarikiwa (مبارك) na tukufu (عظيم), sifa hizi zimepokelewa katika Hadiyth. Hakuna ubaya. Lakini “Kariym” sijui msingi wake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/node/%2013425
- Imechapishwa: 08/05/2022
Swali: Kusema kusema “Ramadhaan Kariym”, Ramadhaan yenye kutoa, je mtoaji si ni Allaah?
Jibu: Hili halina msingi. Kusema “Ramadhaan Kariym”, Ramadhaan yenye kutoa, hili halina msingi. Ama kusema Ramadhaan tukufu (شريف), iliyobarikiwa (مبارك) na tukufu (عظيم), sifa hizi zimepokelewa katika Hadiyth. Hakuna ubaya. Lakini “Kariym” sijui msingi wake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/node/%2013425
Imechapishwa: 08/05/2022
https://firqatunnajia.com/msemo-ramadhaan-kariym-kwa-mtazamo-wa-al-fawzaan/