Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yeyote atakayesikia adhaana na asiitikie basi hana swalah isipokuwa akiwa na udhuru.”[1]
Je, hili linahusu katika hali ya wenyeji au ni yenye kuenea mjini na safarini?
Jibu: Ni kwa wenyeji. Wasafiri wana ruhusa ya kuswali wenyewe. Isipokuwa akiwa mtu mmoja. Katika hali hiyo atalazimika kuswali na mkusanyiko. Kuhusu wasafiri haiwalazimu kuswali na wanaoswali kwa kukamilisha. Isipokuwa akiwa mmoja atalazimika.
[1] Ibn Maajah (785).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22121/حكم-صلاة-الجماعة-في-الحضر-والسفر
- Imechapishwa: 27/10/2022
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yeyote atakayesikia adhaana na asiitikie basi hana swalah isipokuwa akiwa na udhuru.”[1]
Je, hili linahusu katika hali ya wenyeji au ni yenye kuenea mjini na safarini?
Jibu: Ni kwa wenyeji. Wasafiri wana ruhusa ya kuswali wenyewe. Isipokuwa akiwa mtu mmoja. Katika hali hiyo atalazimika kuswali na mkusanyiko. Kuhusu wasafiri haiwalazimu kuswali na wanaoswali kwa kukamilisha. Isipokuwa akiwa mmoja atalazimika.
[1] Ibn Maajah (785).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22121/حكم-صلاة-الجماعة-في-الحضر-والسفر
Imechapishwa: 27/10/2022
https://firqatunnajia.com/msafiri-akiwa-mwenyewe-akasikia-adhaana/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)