Swali: Vipi kutoka msikitini kwa ajili ya darsa kwenda msikiti mwingine?
Jibu: Hili ni kwa ajili ya udhuru unaokubalika katika Shari´ah. Lakini anatakiwa kutoka kabla ya adhaana. Lakini azingatie kutoka kabla ya kuadhiniwa ili asidhaniwe vibaya.
Swali: Akitoka kwa ajili ya kwenda kuswali msikiti mwinigne?
Jibu: Hapana, hapana. Asitoke kwa ajili ya kwenda kuswali msikiti mwingine baada ya kuadhiniwa. Huu sio udhuru. Isipokuwa akiwa ni imamu au anaenda katika darsa. Kwa msemo mwingine sababu ambazo ni muhimu.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22126/هل-يجوز-الخروج-من-المسجد-بعد-الاذان
- Imechapishwa: 27/10/2022
Swali: Vipi kutoka msikitini kwa ajili ya darsa kwenda msikiti mwingine?
Jibu: Hili ni kwa ajili ya udhuru unaokubalika katika Shari´ah. Lakini anatakiwa kutoka kabla ya adhaana. Lakini azingatie kutoka kabla ya kuadhiniwa ili asidhaniwe vibaya.
Swali: Akitoka kwa ajili ya kwenda kuswali msikiti mwinigne?
Jibu: Hapana, hapana. Asitoke kwa ajili ya kwenda kuswali msikiti mwingine baada ya kuadhiniwa. Huu sio udhuru. Isipokuwa akiwa ni imamu au anaenda katika darsa. Kwa msemo mwingine sababu ambazo ni muhimu.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22126/هل-يجوز-الخروج-من-المسجد-بعد-الاذان
Imechapishwa: 27/10/2022
https://firqatunnajia.com/kutoka-nje-ya-msikiti-baada-ya-adhaana-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)