Swali: Ni nini maana ya mtu asipose juu ya posa ambayo kishaposa ndugu yake, isipokuwa ikiwa hatokubaliwa?

Jibu: Wakikataa posa yake, hapo ndipo inafaa kwako kwenda na kuposa. Lakini muda wa kuwa hujui kama amekataliwa au hapana, usimwingilie. Hii ni haki yake. Amekwishakutangulia. Usiingize.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (36)
  • Imechapishwa: 02/09/2023