Swali: Je, inafaa kwa timu mbili za mpira wa miguu kuchezea tuzo ikiwa tuzo hiyo inadhaminiwa na chama cha nje?
Jibu: Haijuzu kuchezea tuzo hata kama imefadhiliwa na watu wa nje. Haijuzu kuchezea kitu katika mazoezi kama haya. Hata hivyo ni halali ikiwa hakuna maasi na mambo yanayokwenda kinyume, kwa sababu ni mazuri kwa mwili, lakini yasichezwi kwa tuzo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
- Imechapishwa: 05/03/2022
Swali: Je, inafaa kwa timu mbili za mpira wa miguu kuchezea tuzo ikiwa tuzo hiyo inadhaminiwa na chama cha nje?
Jibu: Haijuzu kuchezea tuzo hata kama imefadhiliwa na watu wa nje. Haijuzu kuchezea kitu katika mazoezi kama haya. Hata hivyo ni halali ikiwa hakuna maasi na mambo yanayokwenda kinyume, kwa sababu ni mazuri kwa mwili, lakini yasichezwi kwa tuzo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
Imechapishwa: 05/03/2022
https://firqatunnajia.com/mpira-wa-miguu-kwa-tuzo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)