Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mkimsikia yeyote anatangaza msikitini mnyama wake aliyempotea, basi mwambie: “Allaah asikurudishie naye!” Misikiti haikujengwa kwa jambo hilo.”[1]
Je, mtu amwambie hivohivo anayeomba msikitini?
Jibu: Hapana. Mwombaji anaweza kuwa ni mwenye kuhitaji. Haina neno. Inafaa kwake kuomba akiwa ni muhitaji. Asiombewe du´aa mbaya. Lakini ukijua kuwa si mwenye kuhitaji, basi mnasihi na umweleze kuwa haifai kwake kitendo hicho na kwamba ni haramu.
[1] Muslim (568).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
- Imechapishwa: 05/03/2022
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mkimsikia yeyote anatangaza msikitini mnyama wake aliyempotea, basi mwambie: “Allaah asikurudishie naye!” Misikiti haikujengwa kwa jambo hilo.”[1]
Je, mtu amwambie hivohivo anayeomba msikitini?
Jibu: Hapana. Mwombaji anaweza kuwa ni mwenye kuhitaji. Haina neno. Inafaa kwake kuomba akiwa ni muhitaji. Asiombewe du´aa mbaya. Lakini ukijua kuwa si mwenye kuhitaji, basi mnasihi na umweleze kuwa haifai kwake kitendo hicho na kwamba ni haramu.
[1] Muslim (568).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
Imechapishwa: 05/03/2022
https://firqatunnajia.com/mwombaji-msikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)