Ubora wa Maswahabah kwa njia ya jumla uko ifuatavyo:
1- al-Muhaajiruun ndio Maswahabah bora.
2- al-Answaar.
3- Walioshuhudia kiapo cha usikivu na utiifu chini ya mti.
4- Waliosilimu kabla ya kutekwa Makkah.
5- Waliosilimu baada ya hapo.
Amesema (´Azza wa Jall):
لَا يَسْتَوِي مِنكُم مَّنْ أَنفَقَ مِن قَبْلِ الْفَتْحِ وَقَاتَلَ ۚ أُولَـٰئِكَ أَعْظَمُ دَرَجَةً مِّنَ الَّذِينَ أَنفَقُوا مِن بَعْدُ وَقَاتَلُوا ۚ وَكُلًّا وَعَدَ اللَّـهُ الْحُسْنَىٰ ۚ وَاللَّـهُ بِمَا تَعْمَلُونَ خَبِيرٌ
“Hawi sawa miongoni mwenu aliyetoa kabla ya Ushindi na akapigana. Hao watapata daraja kuu kabisa kuliko wale waliotoa baada [ya ushindi] na wakapigana – na wote Allaah Amewaahidi Pepo. Na Allaah kwa yote myatendayo ni Mwenye khabari.” (57:10)
Makusudio ya “al-Fath” ni suluhu ya Hudaybiyah. Hawako sawa wale ambao walitoa kiapo cha usikivu na utiifu chini ya mti na wale waliosilimu baada ya hapo.
- Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalish-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Lum´at-il-I´tiqaad, uk. 144
- Imechapishwa: 27/08/2020
Ubora wa Maswahabah kwa njia ya jumla uko ifuatavyo:
1- al-Muhaajiruun ndio Maswahabah bora.
2- al-Answaar.
3- Walioshuhudia kiapo cha usikivu na utiifu chini ya mti.
4- Waliosilimu kabla ya kutekwa Makkah.
5- Waliosilimu baada ya hapo.
Amesema (´Azza wa Jall):
لَا يَسْتَوِي مِنكُم مَّنْ أَنفَقَ مِن قَبْلِ الْفَتْحِ وَقَاتَلَ ۚ أُولَـٰئِكَ أَعْظَمُ دَرَجَةً مِّنَ الَّذِينَ أَنفَقُوا مِن بَعْدُ وَقَاتَلُوا ۚ وَكُلًّا وَعَدَ اللَّـهُ الْحُسْنَىٰ ۚ وَاللَّـهُ بِمَا تَعْمَلُونَ خَبِيرٌ
“Hawi sawa miongoni mwenu aliyetoa kabla ya Ushindi na akapigana. Hao watapata daraja kuu kabisa kuliko wale waliotoa baada [ya ushindi] na wakapigana – na wote Allaah Amewaahidi Pepo. Na Allaah kwa yote myatendayo ni Mwenye khabari.” (57:10)
Makusudio ya “al-Fath” ni suluhu ya Hudaybiyah. Hawako sawa wale ambao walitoa kiapo cha usikivu na utiifu chini ya mti na wale waliosilimu baada ya hapo.
Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalish-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Lum´at-il-I´tiqaad, uk. 144
Imechapishwa: 27/08/2020
https://firqatunnajia.com/mpangilio-ubora-wa-maswahabah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)