Swali: Mtu akiingia msikitini baada ya kuswaliwa swalah ya mkusanyiko. Halafu kukafanywa mkusanyiko mwingine na kukasogezwa mbele jeneza liswaliwe. Je, aanze kuswalia jeneza?
Jibu: Aanze kuswalia jeneza kisha aswali na hao wengine, kwa sababu swalah ya jeneza itampita na kulipa swalah hakutompita.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23637/هل-يبدا-بالجنازة-الحاضرة-من-فاتته-فريضة
- Imechapishwa: 07/03/2024
Swali: Mtu akiingia msikitini baada ya kuswaliwa swalah ya mkusanyiko. Halafu kukafanywa mkusanyiko mwingine na kukasogezwa mbele jeneza liswaliwe. Je, aanze kuswalia jeneza?
Jibu: Aanze kuswalia jeneza kisha aswali na hao wengine, kwa sababu swalah ya jeneza itampita na kulipa swalah hakutompita.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23637/هل-يبدا-بالجنازة-الحاضرة-من-فاتته-فريضة
Imechapishwa: 07/03/2024
https://firqatunnajia.com/mkusanyiko-wa-pili-au-swalah-ya-jeneza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)