Swali: Ni ipi hukumu ya mtu anayechukua mkopo benki ili aoe? Je, hiyo inahesabiwa ni ribaa?
Jibu: Ikiwa wanakupa 20.000 na unarudisha 23.000, hiyo ni ribaa ya ziada. Muda wa kuwa utalipa ziada inaingia katika ribaa.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 288
- Imechapishwa: 09/01/2025
Swali: Ni ipi hukumu ya mtu anayechukua mkopo benki ili aoe? Je, hiyo inahesabiwa ni ribaa?
Jibu: Ikiwa wanakupa 20.000 na unarudisha 23.000, hiyo ni ribaa ya ziada. Muda wa kuwa utalipa ziada inaingia katika ribaa.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 288
Imechapishwa: 09/01/2025
https://firqatunnajia.com/mkopo-benki-kwa-ajili-ya-mahari/