Haijuzu kwa yeyote kufanya kazi na beki za ribaa muda wa kuwa hakuna dharurah. Ikiwa unachelea pesa zako kupotea au kuibiwa, hapana vibaya kuhifadhi pesa zako benki kwa sharti usichukue ribaa. Ukiongezea kwamba pesa zako zinawasaidia ribaa. Wanaamsha pesa zako na kupata faida juu yake.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 284
- Imechapishwa: 09/01/2025
Haijuzu kwa yeyote kufanya kazi na beki za ribaa muda wa kuwa hakuna dharurah. Ikiwa unachelea pesa zako kupotea au kuibiwa, hapana vibaya kuhifadhi pesa zako benki kwa sharti usichukue ribaa. Ukiongezea kwamba pesa zako zinawasaidia ribaa. Wanaamsha pesa zako na kupata faida juu yake.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 284
Imechapishwa: 09/01/2025
https://firqatunnajia.com/kuhifadhi-pesa-benki/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)