Swali: Je, inafaa kumpa mtu ng´ombe au kondoo kwa thamani ndogo kisha nikamwambia amlishe mnyama huyo mpaka akuwe mkubwa na kunenepa na kwamba tutagawana ile faida yenye kuzidi juu ya ile thamani tuliyokubaliana?
Jibu: Hilo ni jambo zuri na halina neno. Akifa khasara inakuwa kwa wote wawili. Faida na khasara inakuwa kwa wote wawili.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 291
- Imechapishwa: 09/01/2025
Swali: Je, inafaa kumpa mtu ng´ombe au kondoo kwa thamani ndogo kisha nikamwambia amlishe mnyama huyo mpaka akuwe mkubwa na kunenepa na kwamba tutagawana ile faida yenye kuzidi juu ya ile thamani tuliyokubaliana?
Jibu: Hilo ni jambo zuri na halina neno. Akifa khasara inakuwa kwa wote wawili. Faida na khasara inakuwa kwa wote wawili.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 291
Imechapishwa: 09/01/2025
https://firqatunnajia.com/kumuuzia-mtu-mnyama-na-baadaye-kugawana-faida-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)