Swali: Walii amemuozesha msichana wake au dada yake pasi na idhini ya mwanamke na ndoa imeshuhudiwa na mashahidi wawili waadilifu. Baada ya ndoa mwanamke akapata khabari hiyo na kukubali ndoa. Je, ndoa hiyo ni sahihi au ifungwe tena upya?
Jibu: Ni sahihi ikiwa amekubali.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 294
- Imechapishwa: 09/01/2025
Swali: Walii amemuozesha msichana wake au dada yake pasi na idhini ya mwanamke na ndoa imeshuhudiwa na mashahidi wawili waadilifu. Baada ya ndoa mwanamke akapata khabari hiyo na kukubali ndoa. Je, ndoa hiyo ni sahihi au ifungwe tena upya?
Jibu: Ni sahihi ikiwa amekubali.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 294
Imechapishwa: 09/01/2025
https://firqatunnajia.com/amemuozesha-msichana-wake-bila-idhini-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)